Habari Wapambanaji wote.
Naitwa Derick Mtimba ni afisa mauzo wa Shacman Tanzania. Ninayo furaha kuwajulisha kuwa kampuni yetu inatoa aina mbalimbali za magari ya mizigo na ujenzi, yakiwemo:
Tractor Head
Tipper za ujazo tofauti
Water Tanker
Crane Truck
Oil Tanker
Mining Truck
Refrigerator...
Zinapatikana Kwa bei ya 5.4 Million mpka 7 Million inategemea na model unayotaka..
Malipo ya awali ni 20%
Muda wa mkopo ni kwa wiki 60
Marejesho ni kila wiki
Riba kwa wiki ni 1.15%
Marejesho huwa yana Range 107k mpka 120k kutokana na Aina na bei ya hiyo Toyo
Tunatoa Tractor kwa namna mbili
1. Marejesho ya kila Mwezi
Utatoa 25% mpka 35% ya thamani ya Tractor
Utafanya marejesho ya kila mwezi kwa muda wa Miaka 3
2. Marejesho kwa misimu
Utatoa 40% mpka 50% ya thamani ya Tractor na utalipa Marejesho kwa misimu ambayo wewe utahisi itakuwa ni kisimi...
Habari boss! Dump Truck Shacman Mfano: 190 Million
Malipo ya awali 30% = 57 Million
Rejesho kwa mwezi = 6,165,157
Total repayment = 273,245,665
Kwa muda wa miaka mitatu
Habari! Kwa mkopo wa gari kama ni mfanyakazi mwenye Employment contract malipo ya awali ni 20% mpaka 35% muda wa mkopo maximum ni 3 Years na riba kwa mwezi ni 2.35%. Karibu sana
Ufafanuzi kidogo. Mfano Coaster yenye thamani ya 45 Million
Utatoa 11,250,000 kama down payment
Marejesho kila mwezi ni 1,990,000
Jumla utakuwa umelipia 57,680,000
Kwa muda wa miezi 24 au Miaka miwili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.