Mh ni kweli kabisa kwamba hao wake za hao waliowahi kuwa viongozi wa ccm na wale ambao waume zao ni viongozi wa ccm mfano mh endrew chenge nae mke wake nimchaga nataka kujua mama chenge(kamando suzi)anajisikiaje?mh rais popote ulipo pamoja na washauri wako walipo tunawaombo ujumbe huu muusome na...
Wasipokuwa makini hawa wana ccm yatawakuta yaliyowasibu wana kanu,nawasihi wasimamie masilahi ya wananchi wao na na sio maslahi ya chama chao.Kwa niaba ya wanachi ya kata ya mwaubingi (bariadi) napenda kumpongeza seneta amos kwa ushauri mzuri na tunaimani ushauri wake utafanyiwa kazi.
Binafsi nimshauri mgeni rasmi asiende kushambulia mwekiti wa tume ambaye hakika wamesimamia na kuyatetea mawazo ya wananchi na kama kweli katiba ni mkataba kati ya watawala na watawaliwa basi niwaombe watawala wayaheshimu mawazo ya watawaliwa.
Njalu silanga hana chochote ambacho anaweza kuwaeleza wana kalenga namushauri aje bariadi kusubili kichapo kutoka kwa mzee wetu aliyetukuka na akatukuka momose jonh cheyo.
Wamekusanya pesaa weee ndo waseme biashara haramu walikuwa wapi kukemea mapema?halafu anaenda uk kufuata nn au anaenda kuchukua mlungula wa mazao yatokanayo na tembo na faru wetu?
Anataka kusema tembo hawauwawi ccm wamekaa kimya sababu wanakusanya pesa kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu ujao tembo wanauawa,twiga wanatoroshwa ingali wako wahi,faru nao wanashambulia serikali imekaa kimya vyombo vya habari tza navyo havikemei sa mnataka dail mail...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.