Recent content by denyol

  1. denyol

    Suala la Chakula Muhimbili lisifanyiwe Siasa

    utaratibu ni mzuri, hasa ukipata usimamizi na utekelezaji unaoeleweka. usimamizi!
  2. denyol

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumamosi, Tarehe 12 Aprili 2014 - Uwasilishaji wa Taarifa za Kamati

    sijui kwa nn moderators wanakuacha mtu kama ww, unaandika utumbo hadi mtu anaamua kukujibu, hivi kichwa yako inafikiria nn? kwa kweli akili yako ni matope kabisa, huna tija...
  3. denyol

    Kwa hali hii Chalinze wanaihitaji CHADEMA, CCM walipaswa kuona aibu

    kaka wananchi bado hawajaelewa nini chanzo cha matatizo yao, bado wana imani na chama cha ccm ambao nao wanatumia imani hiyo kuwatenda wananchi vibaya, CDM na vyama vingine pinzani kazi yao ni kuwaelimisha wananchi kadri wananavyoweza na kuwaeleza madhara ya ccm, kdg kdg wananchi watawaelewa na...
  4. denyol

    Kwa hali hii Chalinze wanaihitaji CHADEMA, CCM walipaswa kuona aibu

    kwa chalinze sio rahisi kwa wapinzani kuchukua jimbo hilo, hata kama wananchi wanataka mabadiliko kutokana na uhalisia, kwanza ndilo jimbo ambalo anatoka mkuu wa kaya, halafu mwanae ndiye anayegombea, tusitegemee miujiza itendeke hapo hapo...
  5. denyol

    Dhamira yangu sasa ni kuondoka Dodoma wiki ijayo!

    wameshachelewa sana, bora wamalizie tu, mchakato mzima ulikuwa na kasoro nyingi tangu awali, na wenye akili waliliona hili na wakatahadharisha mapema, wanasiasa wakashikina mikono wakasonga mbele, leo wanageuka tena... harakati za ukombozi zitaletwa na wananchi na wala sio wanasiasa au chama cha...
  6. denyol

    RASMI USHOGA: Shinikizo kwa JK

    mods mnawaacha watu kama hawa jamani, du!
  7. denyol

    Benson Kigaila awadhalilisha wakazi wa Manzese

    hayo wasema ww, sijawahi kusikia wamepigana au la, watu wapo pamoja siku zote, hakuna ukabila isipokuwa wa kisiasa, na unaolazimishwa na nyie mnaodhani mtakaa siku zote madarakani, poor minds!
  8. denyol

    Benson Kigaila awadhalilisha wakazi wa Manzese

    ukabila wenu mnaoulazimisha hapa na kwingineko, ipo siku utawatokea puani, wenyewe wa kaskazini hawana ubaguzi na wanakula bia na kila mtu kitaani, nyie majukwaani kila siku kelele za ukabila na ukanda, Mungu anawaona!
  9. denyol

    Tumejipanga kutoa elimu ya uzalendo, kwa kutumia DVD

    mdau mfikirie na kuziweka online na wananchi walio mbali na nyumbani pia wazipate... asante
  10. denyol

    Maandamano makubwa nchi nzima

    wanasiasa hawawezi kuwasaidia wananchi ktk hili, isipokuwa wananchi wakiamua wenyewe, lkn kama wananchi wataendelea kuwashangilia wanasiasa kila wanapoawaona kwa sababu ya rushwa ya ubwabwa, tshirt, na kanga, basi maandamano hayo hakuna, na posho hii itaizinishwa, na watalipwa. Mabadiliko ya...
  11. denyol

    Tunahitaji chama kipya?

    mabadiliko hayataletwa na vyama au mtu mmoja mmoja, bali yataletwa na wananchi masikini ambao wamenyonywa kwa muda mrefu, wakiungana, na kutambua hali duni inasababishwa na chama dhalimu. Mabadiliko yanaweza kuja hata nje ya chama cha siasa. Wananchi wakiamua. itakuwa.
Back
Top Bottom