wanasiasa hawawezi kuwasaidia wananchi ktk hili, isipokuwa wananchi wakiamua wenyewe, lkn kama wananchi wataendelea kuwashangilia wanasiasa kila wanapoawaona kwa sababu ya rushwa ya ubwabwa, tshirt, na kanga, basi maandamano hayo hakuna, na posho hii itaizinishwa, na watalipwa. Mabadiliko ya...