Recent content by Dennoz Menace

  1. D

    Hivi ni kweli mtoto anaezaliwa bila ndoa ni haram?

    Lusinde alichojibu bungeni ni dharau kubwa kutokana na kawaida yake ya kutoa maneno na kauli zake chafu bila ya kuwa na staha anapozungumza katika kuchangia mada. Hii ni aibu kwa mbunge kama yeye kutafuta sifa kwa kutumia lugha zisizo na mipaka hata kwenye chombo kinachoheshimika sana duniani...
  2. D

    Jinsi Kampuni za Simu zinavyowaibia wateja wao!

    Hata wafanyakazi wao pia wanawaibia kwa kuwalipa ujira usiowiana na majukumu yao. Hivi sasa makampuni hayo yameanza kuleta wahindi kwenye idara kadhaa tena kwa kuwalipa vizuri zaidi kuliko wazawa na mwisho wa siku performance delivery ya wahindi hao ni very poor wakati wazawa wanahenyeshwa bila...
  3. D

    Tanesco embu kujeni huku kinondoni hali mbaya

    mdau hebu wajulishe fasta nasi tunakusaidia kutoa taarifa maana hao jamaa wana tabia ya kuwasili baada ya maafa kutokea kama vile walivyo Zimamoto.
Back
Top Bottom