.
Sio kila mtu anaweza akawa mwajibikaji kama hajajua vitu muhimu ambavyo mtu mwajibikaji anapaswa kuwa navyo. Mtu mwingine hujaribu kuwa mwajibikaji kwa mda fulani, lakini kwasababu hajazoea hayo maisha, mbio zake huishia ukingoni.
Kwa mfano, tukiwa mashuleni kwa wale ambao hawakuwa na tabia...
TABIA YA UWAJIBIKAJI HUTENGENEZWA NDANI YA MTU
Mara nyingi mtu anapopokea cheo au nafasi flani, kwa zile siku za mwanzo huanza kwa kasi ya ajabu, lakini muda unavozidi kusonga mbele, ile kasi inapungua, kwanini inakuwa hivyo? Kuna sababu nyingi ambazo hupelekea jambo hilo kutokea. Familia zetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.