Kabla hujaanza kufuga samaki Kuna mambo au hatua muhimu na za msingi kuzijua kama vile
1.uwe na Eneo lisilo na migogoro ya matumizi ya maji na ardhinikimaanisha eneo liwe lako na lisiwe na migogoro yoyote ya kugombea ardhi ama maji
2.Uhakika wa Maji safi, salama na yakutosha kwakua ndo uhai wa...
Karibu tukuhudumie masuala yote yahusuyo ufugaji samaki ,kuanzia Elimu ya ufugaji samaki, mbegu Bora ya vifaranga wa samaki na chakula Bora cha samaki.karibu shambani kwetu kongowe-kibaha . Pia waweza tufollow kwenye page yetu ya Instagram @ufugaji_samaki_kibiashara.
Kama wewe ni mfugaji au una mpango wa kuanza mradi wa ufugaji samaki ,sasa unaweza kupata vifaranga vya samaki aina ya kambale kwa bei poaa kabisa ya sh 400. Pia tunatoa elimu ya ufugaji wa samaki maji baridi, tunatengeneza chakula cha samaki (powder),tunasimamia utengenezaji wa mabwawa pamoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.