Recent content by Dennic13

  1. D

    Mashine za juice ya miwa zinapatikana

    Ambayoo unatumia mkono kusaga miwa ile ya kawaida ni bei gan???🤔
  2. D

    Naomba ushauri kisheria juu ya kubadili majina

    Habari zenu ,nilikuwa naombeni ushauri juu ya kibadilisha jina la kwanza kwani jina hilo limetumika kwenye cheti cha kuzaliwa na nimesomea nalo shule ya msingi pamoja na sekondar japo kuwa matokeo ya kidato cha nne ayakuwa mazuri. Sasa naitaji niingie QT nisome tena hila naitaji kubadili jina...
Back
Top Bottom