Recent content by Denice Maxwell

  1. Denice Maxwell

    Ajira kufukuza watu kwenye usaili waki hawajatembea na vyeti vya ngazi za chini ili hali vya kaz husika anavyo?

    Yaani unakuta kazi inataka Degree ya HRM unafika na cheti chako cha Degree na Matokeo yake, Watumishi wa Secretariate wa Ajira wanakuzuia kufanya usaili eti mpaka ulete vyeti vyote vya ngazi ya Diploma na Certifcate. Sasa pia inapotokea labda umewapa cha Diploma na hivyo vingine vya level ya...
  2. Denice Maxwell

    Nikiwa na GPA YA 4.7 naweza pata chuo cha kufundisha?

    Nauliza kwa GPA yangu ya 4.7 ngazi ya degree naweza pata chuo cha kufundisha Human Resource?
Back
Top Bottom