Nimekumbuka mwaka 2014 nikiwa mwanafunzi pale OTP mbeya tulipangiwa makundi ya kuenda kwenye medical community bahati mbaya nilipangiwa group tofauti na demu wangu mmoja ivi ila wote tulipangiwa wilaya moja...
Demu uvumilivu ulimshinda alibidi anifate adi kwenye kijiji ambacho nipo bahati mbaya...
Ni mwanamke ambaye nimeishi nae zaidi ya miaka miwili lakini tulikuja kuachana kwa fujo sana kutokana na tabia alizo zianzisha na kusababisha kushuka sana kwa utendaji wangu wa kazi sababu nilikuwa bado namuhitaji lakini ndo ugomvi sana. Nikaamua kukubaliana na hali maana alikuwa kashapata...
Wakubwa shikamoni wadogo wenzangu habari zenu mimi ni mwanafunzi wa uguuzi na ukunga katika ngazi ya diploma.
Niliamua kusitisha masomo kutokana na kukosa ada ambayo nilijichanga kama kijana lakini kutokana na changamoto nimeshindwa kumalizia mwaka wa tatu naomba kama kuna mtu yoyote ana...
Mimi ni mwanafunzi wa diploma uguuzi na ukunga katika chuo cha afya jijini Mbeya niliamua kuarisha mwaka wa tatu kutokana na changamoto za ada maana kama kijana nimejitahidi sana kupambana maana ada nilikuwa najilipia mwenyewe mwaka wa kwanza na wapili ndo nikaanza kupata changamoto.
Naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.