kwanini avunje wakati IRAN ndo anatka hapo pawe hivyo,asiyetaka hormuz kufungwa ambaye ni USA ndo alitakiwa avunje blockade ya IRAN kipi huelewi hapo,aliyekuja na mpango wa blockade ni IRAN aliyekuwa na mpango wa ku unblock hapo ni USA au umeanza kufuatilia huo mtanange hapo jana!
mzee aliyetakiwa kuvunja blockade ya mwenzie ni USA si IRAN,yeye IRAN kaweka block hapo USA kaja kumsaidia kublock hiyo sehemu before USA kumsaidia IRAN hiyo blockade,USA a.k.a SUPERPOWER SIJUI KIRANJA WA DUNIA alitoa countdown na vitisho vizito sijapata kuona kwamba IRAN atoe blockade yake la...
iran hajatupia kombora lolote ndani ya marekani ila marekani vita ishamchosha milio kibao...IMAGINE IRAN INGEKUWA INATUPA MAKOMBORA KULE HII VITA MAREKANI INGEMSHINDA 48HRS TU
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.