mzee tangu 2024 ndo unaomba msaada leo!!!
wewe mwenyewe mbona kama haupo siriaz?
na nyie pigabet lipeni hela za watu,watu mda mwingine hawali wanawachangieni nyie pesa maisha yenu yanaenda lipeni hizo m27 au mje mumlipe jamaa m100 kama fidia MAZAFAKA matapeli...hizi kampuni zingine ni matapeli...
unachosema ni kweli ila kinahusiana na pande zote tatu...imean kama wengine watakaa pembeni na kukataa kusaidia upande wowote basi hata USA kuna mataifa hawezi kusimam nazo,kwasababu ukitaka kupiga direct kwenye ardhi ya marekani lazma kuna nchi hapo zitapambana kuzuia mashambulizi dhidi ya marekani
kwa asilimia kubwa ninaweza kuwa ivyo coz yale mafuriko si ya kawaida hata kidogo,yanatisha hata kuyatazama kwenye cm au tv sipati picha waliokuwa wanayaona live
kwanini avunje wakati IRAN ndo anatka hapo pawe hivyo,asiyetaka hormuz kufungwa ambaye ni USA ndo alitakiwa avunje blockade ya IRAN kipi huelewi hapo,aliyekuja na mpango wa blockade ni IRAN aliyekuwa na mpango wa ku unblock hapo ni USA au umeanza kufuatilia huo mtanange hapo jana!
mzee aliyetakiwa kuvunja blockade ya mwenzie ni USA si IRAN,yeye IRAN kaweka block hapo USA kaja kumsaidia kublock hiyo sehemu before USA kumsaidia IRAN hiyo blockade,USA a.k.a SUPERPOWER SIJUI KIRANJA WA DUNIA alitoa countdown na vitisho vizito sijapata kuona kwamba IRAN atoe blockade yake la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.