Recent content by dem boyz

  1. dem boyz

    JamiiForums Tanzania Mossad yasema vituo vya Nuclear vya Iran vinaangaliwa na Mossad muda wote!!!

    wanakula kwa macho tu ila kuvigusa haitatokea kamwe
  2. dem boyz

    JamiiForums Tanzania Iran na nguvu zake alizonazo ameshindwa nini kuvunja US Naval blockade?

    kwanini avunje wakati IRAN ndo anatka hapo pawe hivyo,asiyetaka hormuz kufungwa ambaye ni USA ndo alitakiwa avunje blockade ya IRAN kipi huelewi hapo,aliyekuja na mpango wa blockade ni IRAN aliyekuwa na mpango wa ku unblock hapo ni USA au umeanza kufuatilia huo mtanange hapo jana!
  3. dem boyz

    JamiiForums Tanzania Baada ya MOSSAD kufeli huko Iran, viongozi waandamizi wafukuzwa kazi

    unaona hawajawahi kufeli kwasababu umechagua kuwa kipofu/kiziwi mbele ya hao vilaza mossad
  4. dem boyz

    JamiiForums Tanzania Baada ya MOSSAD kufeli huko Iran, viongozi waandamizi wafukuzwa kazi

    tuelezee kwanini hayo ni mafanikio
  5. dem boyz

    JamiiForums Tanzania Iran na nguvu zake alizonazo ameshindwa nini kuvunja US Naval blockade?

    mzee aliyetakiwa kuvunja blockade ya mwenzie ni USA si IRAN,yeye IRAN kaweka block hapo USA kaja kumsaidia kublock hiyo sehemu before USA kumsaidia IRAN hiyo blockade,USA a.k.a SUPERPOWER SIJUI KIRANJA WA DUNIA alitoa countdown na vitisho vizito sijapata kuona kwamba IRAN atoe blockade yake la...
  6. dem boyz

    JamiiForums Tanzania Mishahara nchini Israel ya panda kuashiria kukua kwa uchumi wao!!

    ngoja nikupatie walau komeni moja maana thread zako zinztia huruma huruma
  7. dem boyz

    JamiiForums Tanzania Tunaenda kushuhudia Marekani inashindwa vita na Iran. Wachina na Warusi ni wahuni sana

    jibu lake lilikwa naandika nikiwa nyuma yake unampiga spinkle tu
  8. dem boyz

    JamiiForums Tanzania Mpaka sasa, Iran katupia missiles ngapi huko Marekani mpaka aelekee kushinda vita,?

    iran hajatupia kombora lolote ndani ya marekani ila marekani vita ishamchosha milio kibao...IMAGINE IRAN INGEKUWA INATUPA MAKOMBORA KULE HII VITA MAREKANI INGEMSHINDA 48HRS TU
  9. dem boyz

    JamiiForums Tanzania Zaidi ya ndege 40 za Marekani zaharibiwa tokea wa mapigano ya anga ya Iran

    upande wa pili tuletee wewe tangu lini Echolima1 akaandika habari za pande zote mbili
  10. dem boyz

    JamiiForums Tanzania Mnaokula wake zetu na kutuona sisi wazembe, mna hakika nyie mtaweza?

    mzee umeuliza swali la kiprofeseri
  11. dem boyz

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Ulinzi wa Israel amethibitisha kuwa Marekani wanatumia Base za Israel kuishambulia Iran.

    HUYO WAZIRI KAKUDANGANYA KIAZI UMEAMINI...ISRAELI HANA HAMU NA IRAN NA HATOKUJA KUWA NA HAMU NI KUJIMWAMBAFAI TU
  12. dem boyz

    JamiiForums Tanzania Netanyahu Na Trump Wakiwa Ndani ya Ikulu Ya Marekani

    kwa kuomba misaada na kulia lia kwa hilo huyo kweli anatisha sana...tunampa maua yake MR BUY TIME
  13. dem boyz

    JamiiForums Tanzania Wamarekani wataweza kuifanya hii operesheni??

    Lord, please let them accept the things they can't change....otis jay z and kanye
Back
Top Bottom