Recent content by dem boyz

  1. dem boyz

    JamiiForums Tanzania Mwanetu anazibonda sana kama Tandale

    nilitaka niulize hivyo
  2. dem boyz

    JamiiForums Tanzania KERO Nimeshinda Sh 27M kwenye kubet, Kampuni inataka kunipa Sh 3M, Gaming Board hainisaidii

    mzee tangu 2024 ndo unaomba msaada leo!!! wewe mwenyewe mbona kama haupo siriaz? na nyie pigabet lipeni hela za watu,watu mda mwingine hawali wanawachangieni nyie pesa maisha yenu yanaenda lipeni hizo m27 au mje mumlipe jamaa m100 kama fidia MAZAFAKA matapeli...hizi kampuni zingine ni matapeli...
  3. dem boyz

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Hazina wa Marekani Scott Bessent awaonya wanaofanya biashara na Iran

    kisimi cha USA kishajichokea tutafanyaje
  4. dem boyz

    JamiiForums Tanzania Utawala wa Iran lazima uangukie Pua Watake was itakaa-Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu!!

    wajinga ndo mliwao na mtaliwa mpaka iwe nyekunduuuuuu!!!!
  5. dem boyz

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli CIA ya Marekani na Mossad ya Israel wameshindwa kabisa kuipindua Serikali ya Iran?

    unachosema ni kweli ila kinahusiana na pande zote tatu...imean kama wengine watakaa pembeni na kukataa kusaidia upande wowote basi hata USA kuna mataifa hawezi kusimam nazo,kwasababu ukitaka kupiga direct kwenye ardhi ya marekani lazma kuna nchi hapo zitapambana kuzuia mashambulizi dhidi ya marekani
  6. dem boyz

    JamiiForums Tanzania Mafuriko ya Nepal yanahusiana vipi na kufukuzwa kwa Waislam

    kwa asilimia kubwa ninaweza kuwa ivyo coz yale mafuriko si ya kawaida hata kidogo,yanatisha hata kuyatazama kwenye cm au tv sipati picha waliokuwa wanayaona live
  7. dem boyz

    JamiiForums Tanzania Rais Trump wa Marekani atema cheche kwa Magaidi wa Iran!!

    IRAN shikilia hapo hapo mpk hawa pedophile wanyoooke...
  8. dem boyz

    JamiiForums Tanzania Kisa cha Mary J. Blige: Usaliti na Mtego wa Fedha

    dude hatari sana lile milele is HOT
  9. dem boyz

    JamiiForums Tanzania Trump Atangaza “Vita vya Kiuchumi” Dhidi ya Iran

    mazafaka wamemshindwa IRAN...kilichobaki maneno maneno kama zuchu
  10. dem boyz

    JamiiForums Tanzania Mossad yasema vituo vya Nuclear vya Iran vinaangaliwa na Mossad muda wote!!!

    wanakula kwa macho tu ila kuvigusa haitatokea kamwe
  11. dem boyz

    JamiiForums Tanzania Iran na nguvu zake alizonazo ameshindwa nini kuvunja US Naval blockade?

    kwanini avunje wakati IRAN ndo anatka hapo pawe hivyo,asiyetaka hormuz kufungwa ambaye ni USA ndo alitakiwa avunje blockade ya IRAN kipi huelewi hapo,aliyekuja na mpango wa blockade ni IRAN aliyekuwa na mpango wa ku unblock hapo ni USA au umeanza kufuatilia huo mtanange hapo jana!
  12. dem boyz

    JamiiForums Tanzania Baada ya MOSSAD kufeli huko Iran, viongozi waandamizi wafukuzwa kazi

    unaona hawajawahi kufeli kwasababu umechagua kuwa kipofu/kiziwi mbele ya hao vilaza mossad
  13. dem boyz

    JamiiForums Tanzania Baada ya MOSSAD kufeli huko Iran, viongozi waandamizi wafukuzwa kazi

    tuelezee kwanini hayo ni mafanikio
  14. dem boyz

    JamiiForums Tanzania Iran na nguvu zake alizonazo ameshindwa nini kuvunja US Naval blockade?

    mzee aliyetakiwa kuvunja blockade ya mwenzie ni USA si IRAN,yeye IRAN kaweka block hapo USA kaja kumsaidia kublock hiyo sehemu before USA kumsaidia IRAN hiyo blockade,USA a.k.a SUPERPOWER SIJUI KIRANJA WA DUNIA alitoa countdown na vitisho vizito sijapata kuona kwamba IRAN atoe blockade yake la...
  15. dem boyz

    JamiiForums Tanzania Mishahara nchini Israel ya panda kuashiria kukua kwa uchumi wao!!

    ngoja nikupatie walau komeni moja maana thread zako zinztia huruma huruma
Back
Top Bottom