Nauza vitu vingi Boss Spark ili nipate pesa ya kutatua changamoto iliyo mbele yangu sasa kiongozi wewe umepoint hiyo receiver na kudondoshaa negative comment nimeona hujatenda haki boss.
Anyway ni Jamiii forums hii hatupangiani cha kukoment
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kwelii boss ni za muda mrefu,na sijaziweka sokoni ili nimpige mtu...after all hizo receiver ni za muda mrefu lakini kuna dish hilo na pia kuna LNB ambazo ndio hizo hizo zinazotumiwa na Azam,dstv nk..
Mnunuzi wa hilo dish lnb 2 na receiver old school mbili kwa laki moja mbona ni very...
Habari za siku nyingine tena ndugu zangu wa Jamii forums,kwangu mimi hapa ndio sehemu pekee nayotegemea kufanikisha nalopambania ambalo liko njee ya muda kutokana na kutofikiwa gharama hitajika.
Hizi items bado ninazo
Laptop hp intel core i5 7th Gen 8GB of Ram na 500GB hard disk bei 500k
Samsung...
Mwaka huu alijafanyika hilo kwa shule nyingi mno..kwa mfano wanafunzi wote wa Almuntazir girls wamehamishiwa form one Jangwani,wanafunzi wotee waliofanya mtihani St Augustin primary wamehamishiwa buguruni moto sekondary ukiangalia aina hiyo ya selection haiko sahihi kabisa.
Sent using Jamii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.