Mkuu nimejitania tu mie sio wa ukoo wa panya bna. Just understand the truth. Hauitaji kwenda shule. Soma report zote na ata kauli ya mkuu. Si mtetei ata kidogo ila ndo ukweli.
Habari ndugu wanachama wa jf.
Natumai kuwa kila mtanzania anaifahamu taarifa za account muhimu ya Escrow-tegeta.
Nashukuru kuwa Mh.rais amechukua hatua kwa baadhi ya watumishi wa umma. Mfano prof.tibaijuka tayari hayupo kwenye baraza la mawaziri.
Lengo kuu la kuelezea ukweli kuhusu Escrow...
Sawa kama ameikata ni vizur. Na hili la prof.muhongo kusema pesa za Escrow Ilikuwa hazina chembe ya pesa za umma nalo unamtetea? Nani kamua professa wa watu...? Hv ni kweli msomi anasimama bungeni kwa ubabe kuwa pesa sio za umma? Leo hii unasema kauwawa... na nani? Watu wanakufa na hawana...
Sijakuelewa bado.. sasa ebu unganisha ulichotaka kusema na husiano prof. Muhongo a.k.a Escrow broker. .. then tupate picha ya hao magambazi wote ili tujue nani anaiua nchii hii.
Hello wana janvi..! Habari nilizozipata nikuwa cc ya chama cha mapinduzi wako katika wakati mgumu wa maamuzi juu ya kumvua uwanachama mzee wa monduli.
Katika kuonyesha kuwa hilo linawezekana mjumbe mmoja alijenga hoja ya kumvua uwanachama mzee huyo kwa kutumia mfano wa CDM kumvua uwanachama...
Leo ktk uchaguzi wa s/mitaa CDM imeshinda lakn cha kushangaza matokeo yametangazwa saa saba usiku kisa kuhesabu kura mgombea wa CCM kila wakati alitaka zoezi la uhesabu liludiwe tena na tena... yaan nashukuru sana vijana hawakulala mpaka kimeeleweka.
Pia mtaa wa makonde mbezi CDM...
Hello wana jef.
Poleni na shughuli za kujenga taifa. Nawapongeza UKAWA kuwa na msimamo wa dhati zidi wachache wanao linda mamlaka yao.
Narudia tena katika historia ya dunia hii tunayoishi hakuna utawala au dola iliyoishi milele. Nazidi kuwatia moyo wazalendo wachache kuwa mabadiliko yanakuja...
Baada ya muongozo wa spika kuhusu kauli ya AG werema ya kuwadharau Wazanzibar..
Hatimaye ameshauriwa kuomba msamaha na kabla ya mh.spika kuhisitisha kikao amempa nafasi AG kuomba msamaha. Amekili kuwa alijiachia bila kujipanga kujibu hoja za muhusika.
Mwizi huyoooo mnataka kupindisha ukweli.. ukweli wa mambo mtauona juma lijalo kwenye gazeti moja wapo hapa nchini... mleta story ni mmoja kati ya wezi za pesa hizo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.