Usaili wa walimu unaoendelea Tanzania ni kizungumkuti kwa sababu ya hoja mbalimbali kama zifuatazo;
1. Usaili sio wa haki na usawa kwa sabab unajumuisha wasailiwa wa miaka yote tokea 2015.
2. Hakuna kiwango maalumu cha ifaulu, Kwa mfano aliyepata 64 Geography amebebwa, aliyepata 72 kiswahili...
Hata uwe na vigezo kiasi gani, kama huna connection Zanzibar hutoboi. Mfano mdogo ni ajira za hivi karibuni kuna jamaa alikuwa na G.P.A zaidi ya 3.8, vyeti vya ziada ikiwemo computer na interview zote mbili kafanya vizuri ila katemwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.