Nahitaji mke ambaye atakuwa tayari kupima Ukimwi,mimi nina umri wa miaka 44 nina watoto 2 na nimeajiriwa,ninaye muhitaji naomba awe na umri kuanzia miaka 39 mpaka 42,awe mfayakazi wa kuajiriwa au mfanyabiashara mwenye mapato ya kuridhisha,asiwe na watoto zaidi ya 2.Lengo la kuwa na kipato...