Rostam Ni mpambanaji haswa,
ana mengi ya kuwamotivate WaTanzania hasa vijana WA wanaojitafuta,
Bahati mbaya wengi hawapati upande wake wa pili wa stori, zaid ya kuskia habari zake mbaya TU zilnazoenezwa Kila Kona.
Jamaa amekua na influence sana na serikali, Hadi wawekezaji wa ndani wamepata...
Tatizo liko wapi mtanzania mwenzetu akifanikiwa na akatamani tufanikiwe sote?
Hivi unaona ni sahii tuwe na WaTanzania waowekeza nje na kutajirisha nchi za kigeni na Sio humu ndani?
Mkojo uliolala una urea nyingi Sana,
Urea ni mbolea na kirutubisho muhimu sn kwa mimea almost yote duniani, hasa mbogamboga
Zamani sana, Kila kukikucha tulimwagia mkojo uliolala kwenye Miche ya mihogo kabla ya kuipanda.
Siku ya kuvuna,
Unavuna muhogo mkubwa haswa
Ndo Tatizo lenu hilo wanasiasa, Kila anaeongea zuri Basi kalipwa.
Mi sio mwanasiasa Wala uwezi kunikuta nikishabikia Wala kuchangia siasa zenu kule jukwaa la siasa.
Nmeongea Kama mtanzania WA kawaida mwenye mawazo chanya ya kimaendeleo
Ishu ni ROSTAM kufanikiwa?
au ishu ni ROSTAM kufuja rasilimali za nchi?
Mbona wazungu wamenufaika na rasilimali zetu na hamjapiga KELELE?
Au ni dhambi mtanzania kumiliki migodi na biashara kubwa kubwa nchini?
Sasa sote tukiwa maskini,
Ni nani atamsaidia mwenzake?
Nilivomskiliza ROSTAM,
Kwa jicho na kimaendeleo,
Rostam ndo wale marafiki uwa napenda Sana kua nao karibu, kuwaskiliza wakizungumza
Ndo Wale marafiki ambao wakizungumza, unaona kabisa uyu jamaa ni smart, Ana vision Kali ya fursa , na ana kiu Kali SANA ya kukua kiuchumi na kwenda mbali Sana...
Suala la mtandao,
Ambalo ndo lilikua linasubiriwa Kwa hamu, jamaa kalifafanua vema kabisa na kakiri kweli yeye ni mwanamtandao.
Tukubali tukatae, wanasiasa ndio nguzo za wafanyabiashara wengi duniani.
Nchi zinazojielewa, wafanyabiashara ni partners WA wanasiasa (yaani utengeneza mtandao) ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.