Recent content by deemax11

  1. deemax11

    Aliesoma Short Course za VETA anaruhusiwa kuendelea vyuoni

    Wakubwa samahani sana ..kama title inavyojieleza hapo juu nilikuwa nataka kujua je kwa aliesoma short course veta mfano ya electronics anaruhusiwa kuendelea kusoma vyuoni kwa ngazi tofauti kama certificate na diploma? Naombeni majibu wakuu
  2. deemax11

    SoC01 Maisha baada ya chuo

    Sawa nimekuelewa broh lakini tatizo lipo kuwa tumetenenezewa mantiki ya kwamba tusome ili tuje kuwa na maisha mazuri na kuambiwa kuwa asie soma anakuwa na wakati mgum we unahisi tatizo lipo wapi je kwetu vijana tunaohitimu au mfumo mzima wa malezi toka kwa wazazi hadi ngazi ya elimu?
  3. deemax11

    SoC01 Maisha baada ya chuo

    Sawa broh lakini tumetengenezewa mantiki hiyo vichwani mwetu
  4. deemax11

    Yale mafunzo ya VETA yaliyotangazwa na serikali yatakuwa ya muda gani?

    jaman wapendwa me ni mwanachama mpya..naomba kuuliza ivi wale wanafanyaga uchunguzi wa sampuri za udongo walisoma course gani chuo?
  5. deemax11

    Wanaofanya uchunguzi wa udongo wanasomea course gani chuo?

    Habari zenu jaman mi ni mwanachama mpya. Nilikuwa naomba kuuliza ivi wale wanaofanyaga uchunguzi wa udongo ni walisomea course gani chuo naombeni mnijuze hapo.
Back
Top Bottom