Recent content by dee official

  1. dee official

    Mwanafunzi anaweza kusitishiwa mkopo kwa mazingira gani akiwa chuo?

    Samahani naomba kuuliza kama kuna mtu amefanya transfer yake ya mkopo na vipi ameshapata mlejesho wowote maana me nimefanya transfer loan officer ananiambia nisubiri tu. Asante
  2. dee official

    Naomba kujuzwa kuhusu mikopo

    Duh sasa kama mwanzo nilichaguliwa kwenye course ya accounting and finance lakini nikahamia chuo kingine nikasoma accountancy pekee it means wataninyima?
  3. dee official

    Naomba kujuzwa kuhusu mikopo

    Habari za muda huu wadau Samahani naomba kuuliza kwa mwenye uzoefu na maswala ya transfer ya mkopo je huchukua muda gani mpaka kukamilika na mnufaika kupatiwa pesa alizopangiwa kwa mwaka husika? Mimi nimefanikiwa kupata asilimia kidogo sana ya mkopo katika batch number two ila kutokana na...
  4. dee official

    Vyuo 10 bora kwa mwaka 2019 hapa Tanzania

    Seaman tembo first year, Naunga mkono hoja yako kiongozi kiukweli hakuna atakaye sema chuo chake si bora ila tu ni muhimu kufikiria je huo ubora uliopo kwenye chuo ninachosoma utanisaidiaje mimi kujikwamua kiuchumi au ndo nitasoma tu then nikimaliza nirudi nyumbani na vyeti kibao halafu nikae...
  5. dee official

    Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) yatoa majina ya wanufaika

    dah ngoja nisubiri nione maana ikiwa sitopata kusoma kwangu itakuwa vigum aise
  6. dee official

    Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) yatoa majina ya wanufaika

    me wameniandikia ivo msaada jaman kwa atakaa kuwa anajua maana yake nini maana wataniua na pressure hawa bodi ya mikopo😥😥
Back
Top Bottom