Recent content by Decency13

  1. Decency13

    Msaada: Biashara yangu inapata Mauzo hafifu

    Natumaini unaelewa mtu akikuambia ndio nimeanza mh.
  2. Decency13

    Hivi kuna usalama kiasi gani kununua laini za uwakala mkononi mwa mtu?

    Kama tayari una TIN kwaajili ya biashara nyingine kuna ulazima wa kuapply TIN mpya kwaajili ya uwakala?
  3. Decency13

    Hivi kuna usalama kiasi gani kununua laini za uwakala mkononi mwa mtu?

    Kwa wenye uzoefu, Hivi kuna usalama kiasi gani kununua laini za uwakala kwa mkononi mwa mtu?
  4. Decency13

    Msaada: Biashara yangu inapata Mauzo hafifu

    Tafadhali naomba upite kwenye page yangu unisupport Allana's Closet (@allanah_closet) • Instagram photos and videos
  5. Decency13

    Msaada: Biashara yangu inapata Mauzo hafifu

    Inachukua muda sana kupata hata msg tu ya kwanza kwa watu wa mtandaoni.
  6. Decency13

    Msaada: Biashara yangu inapata Mauzo hafifu

    Nashukuru kwa kila mmoja aliyechukua muda wake kutoa ushauri. Kuhusu location nipo eneo la sokoni ila upande ambao hauna movement sanaa ila ipo ipo.
  7. Decency13

    Msaada: Biashara yangu inapata Mauzo hafifu

    Bei sio kubwa ukilinganisha na wapinzani wanaonizunguka,
  8. Decency13

    Msaada: Biashara yangu inapata Mauzo hafifu

    Nimeanza kufanya hivo lakini response bado ni ndogoo nimejiunga huko facebook lakini bado
  9. Decency13

    Msaada: Biashara yangu inapata Mauzo hafifu

    Waheshimiwa nahitaji msaada kwenye hili, hivi inakuwaje mtu hauuzi kabisa dukani kwako kwa siku karibia 20 yani kila siku patupu tatizo linakua ni nini? Binafsi nimefungua frame nauza mitumba ya kike(gauni) lakini niliuza siku 5 za kwanza tu ila sasa hivi mambo magumu mzigo ni kama umechacha...
Back
Top Bottom