Kwani mi mwanasheria au wakili? Au siku hizi kila mtanzania ni mwanasheria. Ndo mana kila mtu ni mchambuzi in favor of Lisu. Sheria haziko hivyo ndugu yangu. Subilini uamuzi wa majaji ili anyongwe vizuri
Jamaa amekabidhiwa chama majuzi tu lakini kimeshinda yeye siasa kwake ni kurumisha mitusi mwanzo mwisho. Kwake hakina pont of consensus hata kidogo.
Inawezekana ana akili ya darasani ili hekima zero.
Alichapwa risasi 32 mama akaenda kumtoa huko ughaibuni kwa kumhurumia na baada ya kufika...
Ushahidi anayeweza kuutafsiri ni jaji hawa wengine ni wapiga kelele tu. Tusubilie jaji atataffsiri vipi. Huyu mwingine ni kelele tu la sivyo angekuwa jaji yeye
Sisi hatuangalii uchambuzi bali tunaangalia final decision. Huwa hatuangalia machenga mengi uwanjani bali tunaangalia magoli yaliyofungwa. Huo ni mtazamo wake na majaji pia wanao mtazamo wao kwa hiyo wait and see. Dont preempty the judges.
Aliyeandika maklaa hii anaweza kuwaanajifariji...
Lile li shamba lilikuwa limeshaandaa mazingira ya kuwa life president Mungu akasema no. Siku ya kifo chake nikunywa bia nyingi kwa furaha. Liliharibu nchi mno. Limtu lilukuwa halina maarifa kabisa lenyewe ni kufokafoka tu utadhani litaahira
Kwa jpm mbona hamkulalamika alifikia mpaka kuwashut ridasi aakina lisu hadharani na akawakimbiza akina lema nje ya nchi na akina mbowe. Ngoja awanyooshe mlifikia hatua ya kumdharau
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.