Recent content by deblabant

  1. D

    Kanisa Katoliki hapa Tanzania aliyekuwa na hekima kuliongoza ni Askofu Pengo tu wengine ni mipasho tu

    Endeleeni kupigwa sound na hawa maaskofu mnaowaona kama miungu yenu
  2. D

    Kanisa Katoliki hapa Tanzania aliyekuwa na hekima kuliongoza ni Askofu Pengo tu wengine ni mipasho tu

    Rejea protocali wakiwa maaskofu wote wamekusanyika. Anayetajwa wa kwanza ni kadinali kumaanisha ndiyo top of all
  3. D

    Kanisa Katoliki hapa Tanzania aliyekuwa na hekima kuliongoza ni Askofu Pengo tu wengine ni mipasho tu

    Kwa jpm mbona hamkulalamika alifikia mpaka kuwashut ridasi aakina lisu hadharani na akawakimbiza akina lema nje ya nchi na akina mbowe. Ngoja awanyooshe mlifikia hatua ya kumdharau
  4. D

    Kanisa Katoliki hapa Tanzania aliyekuwa na hekima kuliongoza ni Askofu Pengo tu wengine ni mipasho tu

    Inateggemea ni usomi gani. Huu wa theology ndo usomi gani ambapo huajiriwi popote
  5. D

    Kanisa Katoliki hapa Tanzania aliyekuwa na hekima kuliongoza ni Askofu Pengo tu wengine ni mipasho tu

    Nani Nani kauza bandili nyie machizi? Semq uelewa wenu finyu na maaskofu wenu. Lini uwekezqji ukawa uuzqji? Rudini shule msikali hqyo ma theology halafu mnajiita wasomi. Hata diplona tu ya kujua investments nini nayo imekuwa shida
  6. D

    Kanisa Katoliki hapa Tanzania aliyekuwa na hekima kuliongoza ni Askofu Pengo tu wengine ni mipasho tu

    Na atashambuliwa kweli mpaka akili yake ikae sawa. Mlitaka kumtikisa mama kisa mwanamke eti
  7. D

    Kanisa Katoliki hapa Tanzania aliyekuwa na hekima kuliongoza ni Askofu Pengo tu wengine ni mipasho tu

    Kanisa katoliki limepoteza uelekeo kabisa haijulikani nani ni nani. Kila askofu ni mkurupukaji tu na hajui nini cha kusema. Mbina pengo aliheshimika sana ikafika hatua akisema kitu serikali inapagawa. Kadri miaka inavyoenda kanisa linakosa critical thinkers kabisa
  8. D

    Kama Ruto must go ilifeli Kenya, kwetu Tanzania Samia must go itafaulu kwa njia zipi?

    Mbona kwa magufuli mlidhindwa. Mange alianzisha movement ya Magufuli must go ikafeli. Muache mama wa watu apige kazi
  9. D

    CCM walijua Geoffrey Mwambe atalamba Miguu, Mnamtesa bure. Hawezi

    Mwambe ni maaya sana anatembea na wake za watu mno
  10. D

    CCM walijua Geoffrey Mwambe atalamba Miguu, Mnamtesa bure. Hawezi

    Kumbukq kipindi Nicho akiwa mkurugenzi wa TIC ilikuwq ni chini ya serikali ya jpm. Hivyo ki ukweli uwekezqji uliisha kabisa enzi hizo. Mama alipoingia madarakani ndo uwekezqji umeimalika baada ya utawala w democracy na wa sheria. Chadema waliharibu baada ya kuchagua mwanaharakati badala ya...
  11. D

    Kosa kubwa la Polepole ni kuongelea CCM kuliko taifa

    kwa maslahi ya pole pole lakini siyo ya watanzania mana pale akiitwa akapewa kitita anakana yote anayoyaonge kama alivyokana ile kauli kwamba kukiwepo tume huru ya uchaguzi basi ccm haipo
  12. D

    Tusipochukua maamuzi magumu Taifa letu la Tanganyika litapotea kabisa

    Acha bangi zako. Nchi inapaa ki uchumi chini ya mama. shauri yako utaachwa na hili gari la mshahara
Back
Top Bottom