Kwa jpm mbona hamkulalamika alifikia mpaka kuwashut ridasi aakina lisu hadharani na akawakimbiza akina lema nje ya nchi na akina mbowe. Ngoja awanyooshe mlifikia hatua ya kumdharau
Kanisa katoliki limepoteza uelekeo kabisa haijulikani nani ni nani. Kila askofu ni mkurupukaji tu na hajui nini cha kusema.
Mbina pengo aliheshimika sana ikafika hatua akisema kitu serikali inapagawa. Kadri miaka inavyoenda kanisa linakosa critical thinkers kabisa
Kumbukq kipindi Nicho akiwa mkurugenzi wa TIC ilikuwq ni chini ya serikali ya jpm. Hivyo ki ukweli uwekezqji uliisha kabisa enzi hizo. Mama alipoingia madarakani ndo uwekezqji umeimalika baada ya utawala w democracy na wa sheria. Chadema waliharibu baada ya kuchagua mwanaharakati badala ya...
kwa maslahi ya pole pole lakini siyo ya watanzania mana pale akiitwa akapewa kitita anakana yote anayoyaonge kama alivyokana ile kauli kwamba kukiwepo tume huru ya uchaguzi basi ccm haipo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.