Recent content by Dear Ngemaita

  1. D

    PreGE2025 BUSOKELO: Kanisa la TAG Latoa Tuzo kwa Mbunge Mwakibete Kutambua Kazi Inayofanyika Jimboni Busokelo

    Haya makanisa sasa yanaanza kuvuka mipaka na kumdhihaki mwenyezi mungu. Binafsi hii sikubaliani na hii tuzo.
  2. D

    Biashara ya Bodaboda: Pikipiki ipi ni nzuri kwa biashara

    samahani wadau naomba kujuzwa kuhusu pikpiki ipi nzuri kwenye biashara ya bodaboda kati ya hizi hapa;- 1. Sanlg 2. Tvs 3. Boxer Nasubiri kutoka kwenu jamani asanteh.
  3. D

    Rais Samia ana uwezo wa kununua hata helikopta yake binafsi kwa hela yake mwenyewe kutokana na kufanya kazi kwa miaka mingi

    Hii hapa nimeielewa binafsi maana tusikurupuke kusema katumia pesa ya taifa kumbe kipato chake yeye mwenyewe. Ingine ni kwamba mtu hawezi kushindwa kufanya jambo kisa atasemwa kwamba katumia pesa ya umma. Yeye ni Rais wa Jamhuri ya Tanzania Lakini yeye huyo huyo ni binadamu mwenye kuhitaji...
Back
Top Bottom