Swali zuri sana hili mkuu, mimi mwenyewe nashangaa sana sijui ni MUNGU wa aina gani huyo wa kuagiza watu wauawe, labda hao Wapalestina hawakuumbwa na yeye.
Alishasema yeye anatumia kauli ya upole na maelekezo yake anayatoa kwa kuomba lakini ndiyo anamaanisha. Tumpe muda jamani, bado mapema sana kuanza kumhukumu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.