Recent content by de Gunner

  1. de Gunner

    JamiiForums Tanzania Kukata Mawasiliano na Familia: Miaka Haina Habari

    Ina maana hujaelewa hata ulicho andika hapo?
  2. de Gunner

    JamiiForums Tanzania Kukata Mawasiliano na Familia: Miaka Haina Habari

    No offense madam sio lazima.
  3. de Gunner

    JamiiForums Tanzania Kukata Mawasiliano na Familia: Miaka Haina Habari

    Kwa hiyo? Unachangia Nini?
  4. de Gunner

    JamiiForums Tanzania Kukata Mawasiliano na Familia: Miaka Haina Habari

    Watu sometimes ni kama wanyama tu wasipo jua kuhimili hisia. Na zama hizi ile humaness inazidi kupotea. Hata kama umeumizwa kiasi Gani, you can't just ignore hands that raised you
  5. de Gunner

    JamiiForums Tanzania Usizae kwa kufuata mkumbo kama unataka kuondoa umasikini kwenye familia/kizazi acha kuzaa ovyo

    Kuzaa au kuto kuzaa hai eradicate umaskini. Tatizo ni wewe
  6. de Gunner

    JamiiForums Tanzania Fun fact: Watanzania wengi hawajui 'Dam' ni kitu gani

    Asante Kwa taarifa nilijua bwawa
  7. de Gunner

    JamiiForums Tanzania Kukata Mawasiliano na Familia: Miaka Haina Habari

    Sahihi na ndicho nilikuwa na maanisha.
  8. de Gunner

    JamiiForums Tanzania Kukata Mawasiliano na Familia: Miaka Haina Habari

    Mkuu Kuna mengi nimepitia na kama ulivyosema, Huwa hisia kabisa, ila nikwambie tu kama ni ndugu waliokulea, inabidi usemehe na hata kufanya mawasiliano maana hii kitu hata tusijidanganye, wao pia waliumizwa. Hakuna anayeumiza mwingine pasipo historia. So kukata mzizi wa chuki ni kuanza kuona...
  9. de Gunner

    JamiiForums Tanzania Kukata Mawasiliano na Familia: Miaka Haina Habari

    Hakika mkuu maumivu ya familia ni makubwa. Ila hayatoki hata ukimbie... Mimi naona ni Bora kusamehe, kuwapenda na kuwasaidia upatapo nafasi. Kuna regrets mbaya sana Huwa inapatikana ukiwapoteza mazima. It haunts you your whole life
  10. de Gunner

    JamiiForums Tanzania Kukata Mawasiliano na Familia: Miaka Haina Habari

    Hakika kuliko kupotea na kukata mawasiliano mazima.
  11. de Gunner

    JamiiForums Tanzania Kukata Mawasiliano na Familia: Miaka Haina Habari

    Hivi ujasiri wa namna hii binadamu mnautoa wapi?
  12. de Gunner

    JamiiForums Tanzania Kukata Mawasiliano na Familia: Miaka Haina Habari

    Hiki ndicho chanzo na kiini Cha hayo yote. It starts and ends on a family level. Wazazi Huwa wanafanya mambo kukidhi trauma zao, baadae watoto wakianza ku act weird wanaanza kushangaa.
  13. de Gunner

    JamiiForums Tanzania Kukata Mawasiliano na Familia: Miaka Haina Habari

    Usijiulize sana mkuu do it. Majuto ni mjukuu
  14. de Gunner

    JamiiForums Tanzania Kukata Mawasiliano na Familia: Miaka Haina Habari

    ❤️
  15. de Gunner

    JamiiForums Tanzania Kukata Mawasiliano na Familia: Miaka Haina Habari

    We dada hayo maumivu is part of life. Na sometimes karma is to be faced not avoid. Mateso na chuki ulizopitia sio kigezo cha kuwakataa nduguzo? Hao ndo waliokulea, waliokulisha, waliokuvisha mpka kufikia Leo. So be kind, don't let your ego win.
Back
Top Bottom