Recent content by de Gunner

  1. de Gunner

    Kwanini utajiri mkubwa hapa Tanzania unamilikiwa na Watanzania wenye asili ya Asia

    Kuna namna huwa nafikiri labda we Africans are a cursed species...
  2. de Gunner

    Pumzika kwa amani Baba Tiago wa Yombo, kwa kuchomwa moto kwa wizi sababu unatafuta hela ya kumridhisha mkeo "mama matunzano"

    It's something beyond his understanding... Ilibidi awe fundisho kwa jamii... Tunaishi kwa ajili ya kufulfil desires ambazo mda mwingi hazina maana, we are just like machines in our own ways.
  3. de Gunner

    Kila nikisikia stori za Mungu nahisi kichefuchefu

    Carl G jung alowahi kuulizwa kama anaamini uwepo wa mungu, jibu lake lilikuwa haamini ila anajua mungu yupo. Belief has nothing to do with knowing. Imefikia stage sasa najua mungu yupo. Sitaki tena kuamini. I know. The fact that hatujui ndo tunakimbilia anything the mechanical mind comes with.
  4. de Gunner

    Sina kilevi, nichagulie

    Hang on, inaitwa depersonalization na derealisation. Inaweza kukutafuna au kukufanya kuishi ndoto zako the choice is yours
  5. de Gunner

    Kuna wazazi wanajua kulea jamani

    Hizo ni content na business model, kamwe hai reflect reality. Usiamini kitu cha kusikia bila kukiona, nothing is real kwa dunia ya sasa.
  6. de Gunner

    Nashindwa kumzoea shemeji yetu

    Hujakua bado kijana
  7. de Gunner

    Haya mnayoyaona ya wanachuo kupigania bwana ni matokeo ya kutegemea G.PA za" chupi"

    Ndo maisha yalivyo kwa sasa, watu wamesha give up. Maisha bila sponsor na connection hayawezekani. Self dignity na utu ulishapotea zamani. Mabinti hao wamekua kama reflection ya madudu yanayoendelea sio tu ma vyuoni bali hata mtaani.
  8. de Gunner

    Acha kupoteza muda wako kuandika nyuzi zifuatazo, utakuwa maskini milele!

    Ignorance is Bliss... Ukweli ni kuwa self transformation ni swala binafsi. Watanzania na waafrika kwa ujumla ndivyo tulivyo. Tamaduni zetu zinatufunga
  9. de Gunner

    Namtamani nikiwa na hamu naye lakini baada ya hapo namchukia

    Ya humu tunayaacha kama hatuyajui.
  10. de Gunner

    Namtamani nikiwa na hamu naye lakini baada ya hapo namchukia

    Why mm hapana na humtaki? Kingine masihara hayo ndo utani mwenyewe wewe unamwona katuni yy yuko serious.
  11. de Gunner

    Namtamani nikiwa na hamu naye lakini baada ya hapo namchukia

    Utani tena, so kumbe wewe ni wa kimasihara? Hata mm nikiamua nakupitia?
  12. de Gunner

    Hatupendi ila tutafanyaje

    Laiti tungejua kuwa maisha hasa basic needs ni kitu cha bure na haki kwa kila kiumbe. Tusingefika hapa. Exploitation inakuja kwasababu wenye hela wanahitaji human resources, wanaipataje? Kufyeka basic needs na kumfanya kapuku kizifanyia kazi huku yeye aki maximize profit.
  13. de Gunner

    Namtamani nikiwa na hamu naye lakini baada ya hapo namchukia

    Ilikuaje mpk mkawa na mahusiano? In the first place? Kingine acha kutudanganya kuwa humpendi, intimacy haiwezi kuja bila kumpenda mtu. Au unalako jambo. Wanawake wa kaliba hii hawakai kwenye ndoa
Back
Top Bottom