It's something beyond his understanding... Ilibidi awe fundisho kwa jamii... Tunaishi kwa ajili ya kufulfil desires ambazo mda mwingi hazina maana, we are just like machines in our own ways.
Carl G jung alowahi kuulizwa kama anaamini uwepo wa mungu, jibu lake lilikuwa haamini ila anajua mungu yupo.
Belief has nothing to do with knowing.
Imefikia stage sasa najua mungu yupo. Sitaki tena kuamini. I know.
The fact that hatujui ndo tunakimbilia anything the mechanical mind comes with.
Ndo maisha yalivyo kwa sasa, watu wamesha give up. Maisha bila sponsor na connection hayawezekani. Self dignity na utu ulishapotea zamani. Mabinti hao wamekua kama reflection ya madudu yanayoendelea sio tu ma vyuoni bali hata mtaani.
Laiti tungejua kuwa maisha hasa basic needs ni kitu cha bure na haki kwa kila kiumbe. Tusingefika hapa. Exploitation inakuja kwasababu wenye hela wanahitaji human resources, wanaipataje? Kufyeka basic needs na kumfanya kapuku kizifanyia kazi huku yeye aki maximize profit.
Ilikuaje mpk mkawa na mahusiano? In the first place? Kingine acha kutudanganya kuwa humpendi, intimacy haiwezi kuja bila kumpenda mtu. Au unalako jambo. Wanawake wa kaliba hii hawakai kwenye ndoa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.