Hii inaitwa dhihaka kwa serikali.
Nafikiri tatizo ni pamoja name ukweli kuwa hao matapeli wamepata hizo namba za simu mahsusi kwa shughuli hiyo ndio maana hawana wasiwasi. Wanajua taarifa walizozitoa wakati wa kuzisajili ni za kupotosha pia.
Bahati mbaya tuliamua kutumia utaratibu wa kusajili...
Kitumbo naona hukumwelewa mtoa mada...katika upande wa starehe yeye haendi disco wala sehemu yoyote "outdoor" ...."nikifika hotelini tofauti na mishe mishe zangu mda wote nimelala" ...akimaanisha kwa wiki moja alikuwa na muda wa kutosha sana kutongoza na kutafuna kiasi cha kumwezesha kufanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.