MOst wao ni matepeli mkuu, unakuta A55 inauzwa 250k kwa box, ukimcheki atakupa namba uende kariakoo, ukifika atajifanya ametoka ngoja akuunganishe na dogo wa stoo, watakuweka barabarani ukiwasubiri iliwakusome kama washawahi kukutapeli, kama sivyo basi atafika hapo na mtaanza safari ya kuenda...