huyo mayu angekuwa mstaarabu asingepost ujinga wa matusi me mwenyewe mtoto wa uswazi matusi nayajua vilevile so kikubwa kuheshimiana hapa tupo kuelimishana siyo matusi ila kwakuwa yeye ndo kaanza ile kauli mbiu ya akuanzae mmalize ndo nimetumia hapa. sooo naenda brazili huyu MAYU na matusi yake...
mayu tumia akili acha utoto bila risiva huwez pata fta chanel hii ni biashara hata ww ruksa kutangaza bidhaa hapa au una hisa sehem fulani au g6 ni kikwazo katika shughuli zako fikiri kabla hujacomment nyama we!!!!!!
risiva yako ni mpeg4? je ina uwezo wa kuedit bisskey? kama ina sifa nilizotaja hapo juu unaweza kupata chanels nyingi zinaonyesha kombe la dunia na michezo mbali mbali. chek nami pia karibu ulimwengu wa fta satellite tvs ujifunze mengi!!!! karibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.