Recent content by Davortesha

  1. D

    Upuuzi wa Makamba Senior ndio Chanzo cha Yanayoendelea!

    Kwani sialishazikwa au atarudi?jifunze kukubali mkuu sio kila siku magu magu amshakufa kama wafu wengine na hana uhusiano na sisi tena hivyo jifunze kumetegemea Mungu ndio hata kufa,ulimtegemea Magu Kama Mungu cheki sasa unabaki kulaanilaani utafikiri kuna mtu alimuua
  2. D

    Mama wa Miaka 46 ashtakiwa na TRA kwa kosa la kununua bidhaa bila kudai Risiti

    Kikubwa muuzaji aweameitoa hata kama sina mpango kubeba kutwa nzima nikujaza vikaratasi mfukoni uende chooni risiti nipitie bar ninyww2 rsiti
  3. D

    Tundu Lissu: Kamati kuu ya CHADEMA itakutana mwezi huu kupokea Ripoti ya Maridhiano na kutoa Msimamo wa kuwaendea Wananchi!

    Ndio tulikua tunasubiri kauli kamaiyo sio kila siku maridhiano maridhiano yasiyofika mwisho.
  4. D

    Kuna siku taifa letu litatambuliwa kama "Failed State" kwa kuwatetea hawa mawaziri

    Wewe juzi siulimuona Baba yake?kama dingi ndio vile sasa unategemea nini?
  5. D

    Ajali ya aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Austria ichunguzwe

    Kwaiyo mnafananisha na ya Katibu wa kanisa la Mkandamizaji?
  6. D

    TANZIA Balozi wa Tanzania nchini Austria, Celestine J Mushi, afariki dunia kwa ajali ya Gari

    Nibwana ametwaa kweli au wenye nguvu zao? Ajali na moto juu kwani aliendesha tenki
  7. D

    Jinsi ‘mikono’ ya Serikali ilivyotishia uhuru Bunge sintofahamu ya kujiuzulu Ndugai

    Kichwa cheke mwenyewe sio kizuri anaibua hoja them anaitengua ndani ya siku1 tumsaidije angekomaa tungemsapoti
  8. D

    Vipi kupeleka mtoto shule ya umma na baadae akatafutiwa mwalimu wa kingereza?

    Nisiongee neno sana nikatenda dhambi ila matokeo ya la saba ukiangalia shule za umma zinasikitisha yaani kuna moja kati ya watoto mia120 mwenye gredi A ni mmoja tu.Waalimu wa serikali please tuko chini yamiguu yenu,Msifanyeivyo tena ni mjini sio ya mashambani Karma inarudigi,jitumeni msiwafanyie...
  9. D

    Ndege aina ya Airbus A220 ya (ATCL) ilifikaje nchini Uholanzi na kukamatwa?

    Wakamate zote za nini sasa masimango tu.
  10. D

    Ukweli ni upi "Rais kafanya" au "Serikali imefanya"?

    Rais yeye hajawahi kusimama Mahala popote na kusema Nimefanya au Nitafanya siku zote tunamsikia akisema Serikali itafanya au tutafanya au tumepanga kufanya 123,Mara nyingi Machawa Kama wewe ndio mnamuwekea maneno mdomoni mara amemwaga mipesa sijui kaupiga,yeye anawacheki2
  11. D

    Hussein Bashe ni janga kubwa kwa taifa letu. Hatufai leo, hatufai kesho na hatufai kesho kutwa!

    Yaani ni hivi Kama unataka chakula cha mserereko nenda kalime uweke stock yako ndani tena Bashe uyouyo kakufanyia Mbolea 70000,ila Kama Shamba uwezi tafuta pesa ununue chakula kwa bei iliyoko sokoni hakunanamna Broo
  12. D

    Kampuni ya Precision Air ifungiwe na ifutwe, imejaa Damu na Dhuluma

    Sio kosa lako ni kawaida ukishukuwa upandeuo lazma akili uiweke jalalani
  13. D

    Hii ndio kauli ya kwanza ya CCM-Tanzania baada ya Ajali ya Ndege ya Precision Air kutokea

    Maelezo meeengi eti “vyombo vya uokoaji” Siungewataja wavuvi na mitumbwi yao tu mngepungukiwa nini?
  14. D

    Maji hakuna, kufurahisha Mzungu/Globalist!

    Hakuna cha globalist wama mamake na nini,hapa mchawi mkubwa ni CCM tu tena na bado kama hatutasema ifike mahali hiki chama kongwe kipumzishwe tutazungukia hpohapo mpaka yesu arudi hao jamaa hawanaga maarifa wala maono ya miaka hata 10 mbele wao huwaza namna ya kudhibiti akili kubwa zenye...
Back
Top Bottom