Kutengeneza app ni kazi ngumu sana, utaenjoy mwanzoni unapoanza carrier lakini kadri siku zinavyozidi kwenda na kutengeneza project kubwa akili inachoka sana kwasababu kazi ya kutengeneza software ni kazi usiofanya kwa uzeofu kwasababu kila project ina namna yake ya kuitengeneza na pia inabidi...
Ndio. Ila nataka kuweka usafiri mbalimbali kama boda, toyo kirikuu, na canter kwaajili ya mizigo mikubwa zaidi. Pia kuwe na uwezakano wa kurequest kusafirishiwa kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine
Habari wana JamiiForums,
Mimi ni mtaalam wa kuunda software za simu na kompyuta. Natamani kutengeneza mfumo wa logisitics/delivery ambayo itagusa kila mfanyabiashara ambaye biashara yake inafanya delivery ndani na nje ya mkoa husika. Sijaona mifumo inayogusa maeneo hayo moja kwa moja...
Habari zenu,
Kuna technology mpya ambayo niko kwenye process za kuikamilisha ila ninahitaji kufunga antenna juu ya mnara ili system iwe katika efficiency kubwa.
Naomba kwa anayefahamu bei za kufunga antenna zikoje.. Kwa mfano Tigo wakitaka kufunga antenna kwenye mnara wa airtel ni kiasi gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.