Aliyekwambia RPC alijaribu kumwokoa Mwangosi nani?
maana taarifa za habari ambazo waandishi wenzie wa habari ndo mashuhuda wa mauaji hayo, mmoja wao akihojiwa amesema wakati Mwangosi anapigwa kwa virungu na mateke, yeye alikimbilia gari la RPC kumsihi azuie vijana wake wasitishe kumshambulia...
Kumuua mtu kwa kiwango kile haiwezi kuwa bahati mbaya...
Mwangosi amekufa kifo cha kimkakati... Bahati mbaya ni Ile mikakati ya kijinga kabisa kiasi kwamba hata mtoto anajua hili ni la kupanga.
Familia ya Mwangosi isimame kidete ikisaidiwa na wataalamu wa sheria na haki za binadamu kudai haki.
Tunahitaji wasomi jeshi la polisi, watu watakaofanya maamuzi kwa busara na kwa kuzingatia sheria na haki za msingi za watu.
Sio maroboti ambayo yanaendeshwa kwa rimoti. Ni ajabu sana wanawakandamiza wananchi ambao wanazinduka, na kimsingi ambao wanataka mageuzi kwa njia ya amani, tena mageuzi...
Kimsingi pale ikulu tumefeli.
Anyway, tunaendelea kujipanga kwa ajili ya kuweka kichwa chenye tija zaidi...
Ishu ya kuwa na waandishi wa habari majuha, sio ya kushtua sana... ka mnavyojua, tuna watu majuha zaidi na kwenye sehemu nyeti kiasi kwamba huamini kuwa kesho yake bado nchi ni yetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.