Manager
JF-Expert Member
- Apr 21, 2011
- 531
- 73
Pole Puppy, labda upepo huu utapita mnamo 2015Hizi picha zimeniliza.
Pole Puppy, labda upepo huu utapita mnamo 2015Hizi picha zimeniliza.
Duuh!Nimalizie kiroba changu tu maana waandishi wa bongo walivyo na njaa kali,kesho sito shangaa wakisema "cdm wahusishwa na kifo"!
Kifo hiki cha kusikitisha kimeigusa Chanel Ten ambayo kwa mtazamo wangu huitizama CDM kama wafanya vurugu wa nchi hii. Sasa kwa hili mtakuwa mmepata akili na kuielewa CCM Police na maonevu yake. Sikuwahi kuona CDM wakifanya fujo hata siku moja, siku zote nashuhudia polisi wakifanya fujo kwa jina la kuzuia fujo ambazo wakati huo huwa hazipo.
Channel Ten sasa muache kujikomba kwa serikali, haya yanaweza kumkuta hata Fred Mwanjala na yule mjahidina mwenzake anayependa kujipendekeza kwa serikali.
Tupinge mauaji haya kwa kila hali. Polisi watulinde na si kutuua
Hata gazeti la Uhuru ni chombo cha habari. Usishangae likaibuka na kichwa cha habari "Mwandishi awafanyia vurugu askari" au "CHADEMA wamuua mwandishi wa habari" !!
Sijui kwa nini njaa ilichagua kukaa tumboni!
you are totally right on what you have just said kwa kweli kuna picha hapa inaosha mtutu umeelekezwa tumboni kwa marehemu Daudi View attachment 63613yaani ukizoom vizuri utaona marehemu mkono mmoja umemshika askari kuna askari amemuwekea mtutu tumboni
View attachment 63615 ona huyo askari anavyoshangaa baada ya tkio kutokea na hiyo ni gari ya rpc
Ndiyo wangoje kimbunga kutoka vyombo vya habari.
Bila shaka uysiku huu kuna harakati nyingi kati ya RPC Iringa, IGP Mwema, Dr Nchimbi, RC Iringa na DC Mufindi katika kupata msimamo mmoja kuhusu tungo zitakazotolewa na Polisi kesho kuhusu kuawa kwa mwandishi wa habari.
Nawaza tu sijui watakuja na maelezo gani yatakayoweza kukubalika na magazeti yakaandika positive headlines kwa polisi. Hata kama watashikilia lile lile la siku zote -- la 'hawakutii amri" maelezo ambayo yanaanza kuchosha masikioni, yatapinduliwa na wahariri. polisi wamechokoza nyuki kwa vyombo vya habari.
Ndiyo wangoje kimbunga kutoka vyombo vya habari.
Bila shaka uysiku huu kuna harakati nyingi kati ya RPC Iringa, IGP Mwema, Dr Nchimbi, RC Iringa na DC Mufindi katika kupata msimamo mmoja kuhusu tungo zitakazotolewa na Polisi kesho kuhusu kuawa kwa mwandishi wa habari.
Nawaza tu sijui watakuja na maelezo gani yatakayoweza kukubalika na magazeti yakaandika positive headlines kwa polisi. Hata kama watashikilia lile lile la siku zote -- la 'hawakutii amri" maelezo ambayo yanaanza kuchosha masikioni, yatapinduliwa na wahariri. polisi wamechokoza nyuki kwa vyombo vya habari.
ndugu ! Huku jamvini kuna watu wenye ujuzi mbali mbali tujaribu kujilinda kabla hatumaliza na kudai tumendondokewa na kitu kizitoMpaka 2015 kwa spidi hii watakua washatuua wote sasa. Tumekwisha.
Weka link mkuuNimeiona kwenye youtube, hawakuzungumzia kabisa mwenzao kuuawa.