Mkuu mbna MI naona km hyo ni lucid dream coz Unalala af unaota ndoto then cku unakutan na Hali kam unakumbuka kuwa nlishawah kuota ndoto ya namna hii mda mwingine unafany tukio Af unaona kam ulshawah kufany lkn hukumbk ni wap
Habarn za humu wana jf naomba wejuz wa mamb wanfafanulie kdg ni kwann yesu awe mwisrael na wanafunz wake wote na Israel mungu akaibarik kuwa taifa teule la mungu lkn ajabu kwann baba mtakatifu makao yake makuu ni Roma na si Israel alipozaliwa yesu??
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.