Recent content by davienemes

  1. davienemes

    Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

    mambo vp. nakushauri uwe unatumia mda wa kutosha kunawa na sabuni asubuhi mchana na jioni kuweka ngozi safi, kutokunawa vizuri sabuni ikibaki inasababisha harahara/chunusi. ukinawa hakikisha sabuni yote imetoka usoni. hiyo ni tiba ukizingatia pia km ngozi yako niya mafuta sana usipake mafuta...
  2. davienemes

    Mtaalamu wa Dawa na Tiba: Ninakaribisha maswali kuhusu Magonjwa, Tiba na Dawa

    hello Dr. Sajjad Baba yangu ni mzee wa miaka 90, uzito ni 48kg, kipindi cha baridi au akipigwa na upepo njee huwa anasumbuliwa na kifua kinapiga filimbi na kukohoa sana usiku, tukienda hospital huwa tuu wanampa dawa za kawaida za maji, kwa saivi anatumia ZECUF,ila pia alishatumia ya asili...
Back
Top Bottom