Nadhani ombi langu hapo juu lipo crystal clear ndio maana wachangiaji hapo juu wameweza kuchangia mawazo yao.
Lakini km utakuwa makini lengo la biashara /investment yeyote huwa ni ku gain profitable returns.Hadi charitable organisations zina lengo hili.
Back to the point: Haijalishi mchango wako...
Ndugu wanajamii,kwa kifupi nategemea kupata mkopo toka Bank moja hapa
Dar essalaam kwa kuweka nyumba yangu kama collateral(security).
Original business idea ilikuwa ni kufungua nursary ambayo baadaye inge turn into secondary school.Lakini kwa mtazamo wa haraka,naona kama hii biashara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.