Recent content by David Mgombele

  1. D

    Lazima Lowassa ashitakiwe kwa Ufisadi!!

    Haponi mtu mpaka mkuu wa kaya
  2. D

    Lazima Lowassa ashitakiwe kwa Ufisadi!!

    Kama kweli Lowasa ni mhusika wa ufisadi mahakama zilikuwepo hawakumshtaki. Au walisubiri mahakama ya mafisadi!!! Mahakama ni ileile tu kuwa ya mafisadi ni jina tu. Majaji walewale. Hakuna jipya hapo. Watakaopelekwa ni wadogo wadogo tu
  3. D

    Lazima Lowassa ashitakiwe kwa Ufisadi!!

    Mtashangaa mahakama hii ya mafisadi inakosa kesi za kuamua. Maana nani atasimama kumshitaki nani kwa ushahidi gani usiomhusisha mshitaki kama mhusika wa ufisadi. It is more political rather than a pure will
  4. D

    Tanzania: Chanzo cha kuporomoka kwa Maadili katika Jamii na Hatma ya Taifa!

    Freelancer are you serious. Hivi kwa tatizo kubwa kama hili you just simply say " mashoga hawana Shida kwa usalama" hii nchi ina watu aisee wa ajabu!!!!
  5. D

    Rais Magufuli bado yupo imara kwa sababu ya upinzani butu!!

    Nawashangaa wanaobeza upinzani. Upinzani umesaidia sana kuifanya walau serikali iamke. Bila ya hivyo nchi hjj sijui inekuwa wapi. Ufisadi wote umefichuliwa na wapinzani, kuwajibika kote kunakofanywa sasa ni kuogopa wapinzani wasijepata nafasi. Ukweli wanasaidia.
  6. D

    Ndesamburo: Teuzi za Rais Magufuli pasua kichwa

    Ekyoma jitahidi basi kufikiri kwa kutumia ubongo. Hayo uliyosema ni kwa faida ya nani. Ukweli muukubali basi . ukweli Mzee kachemsha.
  7. D

    Nimeamua kuomba hifadhi ya ukimbizi na sirudi tena bongo

    Nimefuatilia scandal zote kubwa Raisi hajashughulika nazo. Lugumi, Escrow, IPTL, Deep Green Finance, Richmond. Hizi ndio baba wa ufisadi. Lakini Mzee wa Kaya hata kuzizungumzia tu hajawahi. Mimi naona game seriously imeshamshinda. Wasipoangalia hata mahakama ya mafisadi itakosa kesi za kuamua.
  8. D

    Nimeamua kuomba hifadhi ya ukimbizi na sirudi tena bongo

    Cha ajabu scandal hizi kubwa Mzee wa kaya hazigusi. Anahangaika na zile za mtu mmoja mmoja tu. Zile za mtandao wa wengi hazijaguswa. Ngoja tuone!!!!!
  9. D

    Kauli za viongozi wa Tanzania zenye utata!

    Mtoa mada Hamnazo kbs jamani!!
  10. D

    Ofisi ya Makamu wa Rais yakanusha mama Samia Suluhu kujiuzulu umakamu wa Rais

    TataMadiba huna hoja. Hueleweki. Anayosema Zitto sahihi kbs
  11. D

    Dr. Tulia Ackson: Situmii madaraka yangu vibaya, atoa ya Moyoni

    Alichokosa ni HEKIMA tu. Sheria/Kanuni na sheria vinatimilizwa na hekima. Ashauriwe awe na hekima
Back
Top Bottom