na mimi mkuu nina plan ya kuweka eneo la michezo yani mkoani nilipo players club yani mahali hapo inakua ni eneo kubwa la uwazi liko fenced kwaajili ya usalama, panakua na michezo ya kila aina inakua ni mahali pa health training fitness lakini pia wanafunzi wanaweza kuja kushindana na kujifunza...
mkuu
Mkuu Mungu akubariki sana na me mwaka huu nataka kuanza biashara hiyo unaweza ukanisaidia contact zako ili nikija Dar tuonane sisi watu wa mkoani hatujui machimbo uliyoyataja yalipo hivo msaada wako utakua ni wa muhimu sana kwangu plzzz
.
nothing is impossible it only takes courage to give it a try;
mdau wa jf me niko pamoja sana na mawazo ya wengine ila nami nina mchango kidogo nenda kwenye net google about the savage hunters hawa ni watu wanaoenda kutafuta vya zamani kwa kuchimba maeneo ambayo watu wa zamani waliishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.