🔧 HUDUMA ZETU ZINAHUSISHA:
✅ Matengenezo ya simu aina zote (Android & iPhone)
✅ Kurekebisha simu zilizoharibika au kuzimika ghafla
✅ Kuflash simu ili kurekebisha matatizo ya mfumo (software)
✅ Kuondoa iCloud kwenye iPhone kwa usalama
✅ Kurekebisha na kubadilisha skrini zilizopasuka
✅...
📱 iPhone 11 yako imevunjika kioo? Usihangaike tena! 💥
👉 Tunabadili kioo kwa haraka, kwa ufanisi, na kwa bei nafuu kabisa hapa Davao Service Center!
🛠️ Huduma ya kitaalamu, vifaa halisi, na matokeo ya kuridhisha — simu yako itarudi kama mpya!
📍Tembelea tupo Davao Service Center Kariakoo, Uhuru...
Muonekano wa Iphone 16 yako umefikia hali hii? Usiwaze, Davao Service Center tutarudisha simu yako iwe na muonekano mpya kama imetoka dukani leo.
Tutembelee sasa Kariakoo, Mtaa wa Uhuru Jengo la Uhuru ghorofa namba 3.
Wasiliana nasi...
Mpendwa mteja,
Tunapoelekea msimu huu sikukuu usikubali kukosa mawasiliano na hata kukosa picha za ukumbusho wako na ndugu jamaa na marafiki eti kisa tu tu simu yako imeharibika kioo, ilitumbukia kwenye maji, ilizima ghafla, camera haifanyi kazi na umeambiwa haitengenezeki?
Ondoa wasiwasi, Davao...
Habari.
Davao Service Center tunatengeneza simu za aina zote pamoja na kufunga spea mpya za simu.
Tumebobea kwenye matengenezo ya :
Kubadili Vioo Vya Simu.
Kubadili Camera.
Kubadili Betri.
Simu Iliyozima Ghafla.
Simu Iliyoingia Maji.
Mfumo wa Chaji.
Mfumo Wa Simu Kugandaganda.
Tunarepair...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.