Recent content by daudrobert

  1. D

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Tuwekeeni GB10 kwa TZS 10000 kwa siku 30, na sisi tumudu kununua, sio sasa hadi simba na yanga wakicheza ndio nanunua kwa siku moja, tusaidieni tuwe online masaa mengi tujifunze vingi.
  2. D

    Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

    Kingamuzi changu kinaandika 8888, lakini kwa apps card inafanya kazi, kunatatizo gani?
Back
Top Bottom