Biblia inatufundisha kuwa Mazungumzo mabaya ndiyo yanayoharibu tabia njema ya mtu.
1Wakorintho 15:33 “Msidanganyike; Mazungumzo mabaya huharibu tabia njema”.
Maandilizi ya dhambi karibia zote yanaanzia katika “mazungumzo”.. wanaopanga kuua wanaanzia na mazungumzo, wanaopanga kuiba wanaanzia...
Andiko limesheheni na linajieleza kwa ustadi mkubwa, I wish VIONGOZI wa umma wangelisoma Ili liwachome na wabadilishe mienendo yao Kwa ajili ya Tanzania Bora. HONGERA kaka Kwa makala hii fupi but full of content!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.