Mambo mengine yote umetupasha vema. Lakini kama sheria Iko hivo, kwanini utoe angalizo la 'kupotezwa' tunapotaka kujua jambo kama hili? Yaonyesha Kuna udanganyifu mwingi katika biashara zifanyikazo ndani ya mashirika yetu ya umma kupitia watumishi wetu wa umma!
Kama hawataki kujulikana biashara...
Nyerere na Obote walisoma pamoja Chuo kipi? Nyerere alianza kusoma Makerere Mwaka 1943 akisoma Diploma ya Ualimu. Wakati Huo Obote Alikuwa darasa la nne kwao Lira, kaskazini mashariki mwa Uganda. Maana alianza shule darasa la kwanza Mwaka 1940, akaenda Gulu Junior Seminary. Kisha akaenda Soroti...
Pamoja na kashfa na matusi lakini Mimi nitakujibu kistaarabu tu! Kilichosaidia Watz wasife wengi vitamini Uganda ni Ile taaluma ya kutopigana vita vya kufuata Barabara tu! Majeshi ya Uganda yalifuata Barabara wakati wa kusonga mbele na kupigana. Watz waliingia Hata maporini! Mfano mzuri ni Hii...
Mbona tuliambiwa Timu ya kujadili mikataba ya serikali itasimamiwa na Prof Kabudi, mbona Tena akachukuliwa mtu mwingine nje ya timu kujadili mikataba ya serikali?
Ile Negotiation Team ya serikali inayoongizwa na Prof Kabudi na wenzake mbona haijaonekana kushiriki kwenye maandalizi na majadiliano ya awali ya mkataba Huu?
Ninyi Vijana acheni kudanganywa! Hata ukisoma vitabu vilivyoandikwa Kuhusu vita ya Uganda, takwimu kama Hizo hazimo. Aidha Ukienda pale Kaboya kwenye makaburi walipozikwa wanajeshi waliokufa vitani Uganda, takwimu Hizo hazipo. Wanajeshi waliokumbwa na uvamizi ule, maili 10 kutoka mpaka wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.