Ni kweli kabisa, kwanza tuangalie washindani wetu wakuu Africa mashariki wanatoza namna gani, vat ya Kenya na tz ikoje. Indicater moja no kwanini bidhaa za Kenya zipo kwa wingi kuliko zetu na being rahisi.
Watanzania wanaouwawa niwengi sana, na ni muda wa miaka kadhaa sasa, watanzania tunalia na kutiwa hofu, lakini jibu ni moja, watu wasiojulikana, au Vijana wahuni, au watu wenye hasira. Maneno hayo yamekuwa mwiba mkali sana kwa Taifa, hebu angalia, watu wanapatikana kwenye viroba, hakuna...
CDM, ndicho chama kinachowaumbua wanafiki na maajenti wa makinikia. Mnajipambanua kwa uizi wa kura, subiri kichapo kinakuja. CHADEMA, INASONGA MBELE
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.