Wadau,
Mimi mwanaume, natokea Kenya, Nairobi Lakini niko na encounter kadhaa za bongo ila mimi sio mswahili so Msijali lugha yangu sana.
Nawaheshimu watu wa TZ kwani wengi ni watu wa heshma sana, waume kwa wake. So Big up sana. I love guys from TZ.
Ila sasa natafuta mke wa kuoa. Ila awe tu...