Uaminifu Hauwezi Kulazimishwa, Unatoka Moyoni,Unaweza Kuwekeza Muda, Upendo Na Kujitolea Kwa Mtu, Lakini Hilo Halihakikishi Uaminifu Wake.
Watu Huamua Kuwa Waaminifu Si Kwa Sababu Wamelazimishwa, Bali Kwa Sababu Ndani Yao Kuna Msukumo Wa Dhati Wa Kuthamini Waliyonayo.
Ni Rahisi Kushikilia...
Pengine hadi sasa hujui, wala hujawahi kufikiria kuwa; wewe ndo hayo mabadiliko unayotamani sana kuyaona duniani.
Kwa namna moja ama nyingine, umekuwa ukijichukulia kuwa mfinyu na usiye na nafasi kabisa ya kuibadilisha dunia hii.
Swali ni! KWANINI ULIUMBWA? Kwanini ulikuja katika hii dunia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.