Recent content by Dasca

  1. D

    Tangu Rais Dkt. Magufuli afariki, hakuna Habari za vifo vya Corona

    Akuna corona mimi na rudia apa kinacho tumika apa ni nguvu ya dollar tu Ila mimi na amini akuna corona ipo siku tu tuta amuka tu
  2. D

    Tangu Rais Dkt. Magufuli afariki, hakuna Habari za vifo vya Corona

    Duniani akuna ugonjwa unao itwa covid 19 corona aipo Bali ni propaganda za awa wanao jifanya mapingwa wa duniani iyi Mimi na ishi canada Mwaka 2020 nili taka kusafiri nika ambiwa akuna kusafiri bila test ya covid Nika ambiwa ni ende kupimwa nika enda kufanya test Nika ambiwa niko positive Nika...
  3. D

    Naombeni ushauri kuhusu mpenzi wangu

    Ndugu zangu naomba ushauri Mimi ni kijana ambaye nina miaka 23 naishi Canada. Kuna kipindi nilikutana na dada fulani FB huyo dada tuliwai kusoma wote shule kabla sijaenda Canada. Sasa tulivyo kutana na huyo mwanamke ilikuwa 2019 tukaanza mahusiano naye tukapendana sana akanipenda sana na mimi...
Back
Top Bottom