Upo sahihi kabisa ila ninaamini kuwa wanaompenda mama kuliko baba ni wengi zaidi!
Tena hasa zama hizi za kuwa social father[emoji1]
Kuna uzi humu unauliza Una uhakika gani u mtoto wa baba yako?
Kikubwa hapa nilichomaanisha ni kuwa katika mazingira ambayo yanajionesha kuwa mzazi wa kiume anakosea sijaja na mifano kwa sababu hawachelewi kusema imenikuta [emoji1].
Sijaileta ikiwa kama tukio likiwa na maana ya kushambulia mzazi wa kiume, na kutetea upande fulani wa mzazi wa kike.
Kuna...
Hahaa kijiwe cha taka nimekikumbuka tumelala sana pale mkuu [emoji1].
Yule chacha hafai kabisa kuna kipindi alinipiga stick za mgongo acha kabisa yule jamaa mpaka kesho simpendi kabisa.
Kipigo kwenda kwa mama kutoka kwa baba aliyelewa kwa starehe zake kuja kusumbua familia?
Nadhani hujanipata vizuri kuwa ninaongelea katika hali gani! Ukirejea uzi wangu nimesema watoto wakiwa wakubwa wakitambua unamuonea mama yao!!!
Pombe ulewe wewe ukirudi nyumbani ufikie kupiga watu.
Pesa...
Namaanisha line ya mwisho uliyomalizia ndio maana nikasisitiza kwa namna ambayo watoto wakiwa tayari umeshakwenda wanafahamu kuwa linalotendeka ni kosa.
Hahaaa mjinga sana yule alituumiza kweli kweli anasimulia polepole wakati watu tunaumia.
Kama ulikuwa danger coy unanifahamu Katika list ya madoja tatu bora nilikuwa sikosi!
Kumbe unaongelea watoto mkuu? Hao wa kukaa nao sebuleni kwako kuangalia mpira wa miguu? Kumbuka kuwa kuna mambo yatawapasa wavumilie kwa kuwa wapo chini ya dari lako.
Ni mara ngapi ulivumilia usiyoyapenda kwa sababu ya hali fulani?
Kuna mambo ambayo hutaweza kuyakiri ila unafahamu fika kuwa upendo wa mtoto kwa baba na mama haufanani iwe katika namna ya malienge/ chongo / kawaida.
Hii ni hali halisi ambayo ipo kwenye maisha wala sio ya kufikirika.
Kama watoto ni wadogo haitakuwa na shida sana, ila kama ni watoto wakubwa...
Umekadiria visivyo mkuu, huu ni uzi tu hauna muunganiko na maisha yangu kwa ujumla.
Ni uzi wenye ukweli ambao wengi wa wakina baba ambao wametenda twndo kama hilo watakua ni wagumu kukubali jambo kama hilo lipo.
Bado sijaona mtoto mwenye kufurahia baya linalomkuta mama yake.
Kuhusu suala la...
Hapo sawa sawa mkuu, ndipo maana nikasema kuwa tuchukue tahadhari sana maana kama familia imeshakuwa kubwa inapaswa itumike busara ya hali ya juu.
"You are the only stranger to the family you call its yours" in Bujibuji voice.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.