Jamani nisaidieni kupata mfugaji anaeuza mayai ya kuku wa kienyeji..ninahitaji mayai urgently...tray20 tu kila wiki..pls yeyote anaeweza kuniunganisha na mtu huyo...
Mfano...mimi nimejigundua nikiwa mtu wa ibada sana...mtu mwenye pepo hanikaribii...au kama nyumbani kwangu kuna mtu kavamiwa na pepo litakimbia maana nashtukia mtu analia akisema anaungua na anaondoka..nikimgusa tu ndio balaa...nikikemea kwa jina la Yesu linaondoka fasta....
Lakini...
Jamani Yesu alisema tutafanya miujuza mikubwa tena na zaidi aliyofanya yeye....does it mean wale mitume walikua na nguvu za giza?
Hii mada tuiangalie vizuri na kwa hekima...ni kweli nguvu za giza zipo na nguvu za Nuru zipo....
Mfano...
Kuna nguvu ya utambuzi kwa pande zote mbili,nguvu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.