weweeee acha uswahili aisee mbona wengi wana kazi? We una elimu gani? Maana wenye kujielewa huwa hawaongei hivyo! Umekosa hekima ya kiMungu vilaza uliumba? Hapo we mwenyewe hujajielewa unahanja hanja tu! Kwanza waongea sana ndo walee waliokosa kazi! Badala ufanje kazi unakaa unaandika ujinga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.