Recent content by DarkidMtoto

  1. DarkidMtoto

    JamiiForums Tanzania Msaada: Soko la asali

    Habari zenu Wana JF, Natumaini ni wazima, naomba msaada jamani, nina asali lita 8 nmetoa Tabora. Lita 5 nimeijaza kwenye chupa zile ndogo za konyagi ( 200Ml) imebaki lita 3, sasa naona nimekosa njia sahihi ya kuziuza maana sina duka. Na nilitegemea niuze online lakini mambo naona hayajakaa...
  2. DarkidMtoto

    JamiiForums Tanzania MSAADA : Napataje Soko la green garnet Tsavorite

    Habari zenu Wana JF , Natumaini ni wazima. Nilikuwa naomba msaada wenu , niko na vito aina ya Green Garnet (Tsavorite), Sasa Nlitaka kujua Napataje soko la kuuza hivi vito ! Maana viko vingi anaefahamu Madalali au watu wanao husika na haya mambo msaada tafadhali. Ahsanteni .
Back
Top Bottom