Recent content by dark001

  1. dark001

    Hivi ni kweli Tanzania hakuna softcopy za s. Chand?

    Najua bado hujakua,ukikua utaacha na utaelewa nn kinachotakiwa hapa.
  2. dark001

    Hivi ni kweli Tanzania hakuna softcopy za s. Chand?

    Safi mkuu naomba nitumie kilichopo ntashukuru sn,naomba pia utupie kwenye uzi wa kaka shimba najua wahitaji tupo wengi. Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
  3. dark001

    Hivi ni kweli Tanzania hakuna softcopy za s. Chand?

    Nimesaka mzee mbn cjakiona nimekuta notes za teacher.ac,narudi tena kule mkuu.kusaka vizuri. Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
  4. dark001

    Hivi ni kweli Tanzania hakuna softcopy za s. Chand?

    Wakuu hivi ni kweli Tanzania hakuna softcopy za s chand,maana nazisaka za physics na pure math,lakini mrejesho umekuwa mdogo.kina kaka enginear hebu fungukeni mmezificha wapi?,au mnapunguza namba za mainginear automatic? ,msaada kwa alienacho kati ya hivyo au vyote. Sent from my SM-J410F using...
  5. dark001

    Msaada PDF za S. Chands -- Physics na Mathematics

    Nasubiri mkuu,kishawai kupigwa danadana sana humu ila ni mda mrefu.
  6. dark001

    Msaada PDF za S. Chands -- Physics na Mathematics

    Habari zenu wakuu,leo mdogo wenu nimekuja nna omba mwenye pdf za chands physics na mathematics anisaidie,hali mbaya kiuchumi,asanteni.
Back
Top Bottom