Wazee vipi katika pita pita zangu nimekutana na hii app inayouzwa laki tatu kwa ajili ya fixed matches Kuna mtu mwenye uelewa nayo atupe maelezo kidogo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenyewe nataka za kupiga Kikuyu Dom mjini kuna mwalimu mmoja namfahamu pia anafundisha wela Sekondari ana bajaji pia huwa namuona nayo akipiga kazi jioni.
Mimi ni Mwalimu kwa ngazi ya degree nataka nianze biashara ya bajaji dodoma ya kusafirisha abiria ndani ya jiji la Dodoma mjini, naombeni ushauri juu ya hili, nataka nichukue mkopo wa milioni 14 ili nichukue bajaji 2 ili niweze kujikwamua kimaisha maana maisha ya kutegemea mshahara tu sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.