Recent content by Dar-es-salaam

  1. D

    Ukabila Ikulu, Ujenzi, Mambo ya nje, Mipango, TRA, BoT + Ofisi nyeti za serikali

    MK ndugu yangu, sasa mmeshabishana vya kutosha naomba kama unaweza achana na hii topic sababu sasa unatuletea hata madhara sisi wa hilo kabila. Naona vijana wa mzee wanataka kukukomoa na kwa wewe kuwa mstari wa mbele na hili uswahili unaleta - more than + kwetu sisi. Nadhani umenipata. If U...
  2. D

    Mkuu wa Mkoa wa Tabora Ditopile Mzuzuri akamatwa kwa mauaji ya Dereva wa Daladala

    Mk, nimekuwa nasoma habari hapa siku zote na kwa kweli nakupongeza kwa juhudi zako kudai haki na kuleta maendeleo Tanzania. kwenye hili suala ndugu yangu punguza jazba, wenye mpini hii ni issue yao kubwa sana. Utaisaidia nchi yako kwenye mambo mengi lakini ningekuwa wewe hili suala...
Back
Top Bottom