Hataki achunguzwe ila anapenda kusifiwa na kutukuzwa harafu watu huwa hawaoni kama huo ni udhaifu mkubwa. Yaani kama kuna vitu vimeiharibu dunia basi huyu mungu ni wa kwanza. Kama hizi dini zisingekuepo kuna matatzo fulani yangepungua ulimwenguni. Yaani tungabaki kupambana na vitu vingine vya...
utamlaumu bure huyo mungu wa kufikirika mkuu, mazuri na mabaya yote ni nature ya universe
kikubwa watu tutimize wajibu wetu na tupendane ili kuifanya dunia iwe sehemu salama kuishi, otherwise kila mtu apambane na hali yake!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.